Habari Wadau..

Naona Rais wa WCB mambo ya vyuma vimekaza yeye hayamuhusu.. Maana hela anachukua kwa wateja wake waliopo dunia nzima...

Juzi Kamzawadia DJ wake wa Muda Mrefu Romy Jones Nyumba ya Milion 100

Mama Diamond nae kujibu mapigo kamzawadia Romy Jones kiwanja cha thamani ya milioni 80...

A boy from Tandale... Anawapenda sana wafanyakazi wake
 
Top